RAIS SAMIA, RAIS PUTIN WASHIRIKI KONGAMANO LA KIMATAÍFA LA BIASHARA ST. PETERSBURG (SPIET’26) – Habari Mpya

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na Rais wa Shirikisho la Urusi Mhe. Vladmir Putin katika Kongamano la Kimataifa la Uchumi la St. Petersburg (SPIEF’26) linalofanyika kwenye ukumbi wa Mikutano wa ExpoForum Convention Center nje kidogo ya Jiji la St. Petersburg nchini Urusi, tarehe 05 Juni, 2026 Rais…

admin Avatar

by

1 minute

Read Time

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na Rais wa Shirikisho la Urusi Mhe. Vladmir Putin katika Kongamano la Kimataifa la Uchumi la St. Petersburg (SPIEF’26) linalofanyika kwenye ukumbi wa Mikutano wa ExpoForum Convention Center nje kidogo ya Jiji la St. Petersburg nchini Urusi, tarehe 05 Juni, 2026 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza katika Kongamano la Biashara na Uwekezaji kati ya Tanzania na Urusi lililofanyika Jijini St. Petersburg nchini Urusi tarehe 05 Juni, 2026. Kongamano hilo limewakutanisha Wafanyabiashara, Wawekezaji pamoja na Taasisi za kukuza Uwekezaji kutoka Tanzania na Urusi.

About the Author

About the Author

Easy WordPress Websites Builder: Versatile Demos for Blogs, News, eCommerce and More – One-Click Import, No Coding! 1000+ Ready-made Templates for Stunning Newspaper, Magazine, Blog, and Publishing Websites.

BlockSpare — News, Magazine and Blog Addons for (Gutenberg) Block Editor

Search the Archives

Access over the years of investigative journalism and breaking reports