DAR ES SALAAM; MSANII mkongwe wa vichekesho nchini Issa Joseph ‘Mzee Onyango’ amefariki dunia alfajiri ya leo.
Taarifa za kifo chake zimethibitishwa na msanii mwenzie Seif Mbembe na kwamba taarifa zaidi kuhusu msiba huo zitatolewa.
The post Mzee Onyango afariki dunia first appeared on HabariLeo.















