MAHUNDI AWASILISHA RANDAMA, BAJETI YA MAENDELEO YA JAMII KUSOMWA JUMATATU – Habari Mpya

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi, leo tarehe 29 Mei, 2026 amewasilisha Randama ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum kwa Mwaka wa Fedha 2026/2027 mbele ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ikiwa ni…

admin Avatar

by

1 minute

Read Time

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi, leo tarehe 29 Mei, 2026 amewasilisha Randama ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum kwa Mwaka wa Fedha 2026/2027 mbele ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya utekelezaji wa mipango na vipaumbele vya wizara kwa mwaka ujao wa fedha.

About the Author

About the Author

Easy WordPress Websites Builder: Versatile Demos for Blogs, News, eCommerce and More – One-Click Import, No Coding! 1000+ Ready-made Templates for Stunning Newspaper, Magazine, Blog, and Publishing Websites.

BlockSpare — News, Magazine and Blog Addons for (Gutenberg) Block Editor

Search the Archives

Access over the years of investigative journalism and breaking reports