Author: admin

  • MHANDISI JOANES AWATAKA OLCHORONYORI KUWA MABALOZI WA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI – Habari Mpya

    Na Mwandishi wetu, Simanjiro  HALMSHAURI ya Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, baada ya kupata mradi wa mpango wa kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi (SCALE), wataalamu mbalimbali wamekuwa wakipita maeneo tofauti yatakayonufaika na mpango huo kwa kutoa elimu kwa jamii. Wananchi wa Kijiji cha Olchoronyori Kata ya Msitu wa Tembo, wamepatiwa elimu endelevu kuhusu mbinu za…

    Continue Reading

  • Tanzania yaimarisha tahadhari dhidi ya mlipuko wa Ebola

    Tanzania yaimarisha tahadhari dhidi ya mlipuko wa Ebola

    Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Afya, Dk Florence Samizi amesema Tanzania inaendelea na hatua za kuzuia na kuimarisha utayari dhidi ya mlipuko wa ugonjwa wa Ebola unaosababishwa na virusi vya Bundibugyo unaoendelea katika nchi jirani za Jamhuri ya Demokrasia Congo na Uganda. Dk Samizi ameyasema hayo Jumanne, Mei 26, 2026 kwa niaba ya Waziri…

    Continue Reading

  •  Tanzania yaimarisha tahadhari dhidi ya mlipuko wa Ebola

     Tanzania yaimarisha tahadhari dhidi ya mlipuko wa Ebola

    Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Afya, Dk Florence Samizi amesema Tanzania inaendelea na hatua za kuzuia na kuimarisha utayari dhidi ya mlipuko wa ugonjwa wa Ebola unaosababishwa na virusi vya Bundibugyo unaoendelea katika nchi jirani za Jamhuri ya Demokrasia Congo na Uganda. Dk Samizi ameyasema hayo Jumanne, Mei 26, 2026 kwa niaba ya Waziri…

    Continue Reading

  • Wenje afichua awataja waliokwamisha mchakato wa Katiba mpya

    Wenje afichua awataja waliokwamisha mchakato wa Katiba mpya

    Suala la maridhiano ya kitaifa limekuwa likipigiwa chapuo na watu wa makundi tofauti, wakihitaji maridhiano ya dhati yenye lengo la kuliponya taifa kutokana na makovu yaliyosababishwa na mauaji baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025. Wengine wanaenda mbali zaidi wakisema maridhiano yalihitajika hata kabla ya Oktoba 29 kwani taifa halikuwa moja, matukio ya utekaji…

    Continue Reading

  • Moto wateketeza mtoto, mwili wakutwa chini ya kitanda

    Moto wateketeza mtoto, mwili wakutwa chini ya kitanda

    Moshi. Simanzi na majonzi vimetawala katika Kitongoji cha Mwitini, Kijiji cha Mwasi Kusini, Wilaya ya Moshi Vijijini mkoani Kilimanjaro baada ya mtoto mwenye umri wa miaka mitatu kufariki dunia kwa kuteketea kwa moto ndani ya nyumba yao. Mtoto huyo, Francis Andrew David alipoteza maisha katika tukio hilo la Mei 26, 2026 katika Kata ya Uru…

    Continue Reading

  • THRDC yatoa neno mauaji ya Baozhang Ge

    THRDC yatoa neno mauaji ya Baozhang Ge

    DAR ES SALAAM: MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) umekemea vikali mauaji ya aliyekuwa mmliki wa kiwanda cha kuchakata chupa za plastiki cha XIL LI na kuitaka jamii kuacha kuhusisha matukio hayo na makabila au jamii fulani badala yake sheria ichukue mkondo wake dhidi ya wahusika wa uhalifu huo. Akizungumza jijini Dar…

    Continue Reading

  • SIHA KUPOKEA ZAIDI YA WASHIRIKI 800 KATIKA WEST KILI FOREST TOUR CHALLENGE – Habari Mpya

    SIHA KUPOKEA ZAIDI YA WASHIRIKI 800 KATIKA WEST KILI FOREST TOUR CHALLENGE – Habari Mpya

    Na Mwandishi Wetu, Siha Mkuu wa Wilaya ya Siha, Dkt. Christopher Timbuka, amezindua rasmi mashindano ya West Kili Forest Tour Challenge yanayotarajiwa kuvutia zaidi ya washiriki 800 kutoka ndani na nje ya nchi, huku yakilenga kutangaza utalii, kuhamasisha michezo na kuchochea ukuaji wa uchumi kwa wananchi wa Wilaya ya Siha. Mashindano hayo yatafanyika Juni 20…

    Continue Reading

  • PPP imeleta mapinduzi safari za kwenda Makka 🌙

    PPP imeleta mapinduzi safari za kwenda Makka 🌙

    DAR ES SALAAM: MKURUGENZI wa Kituo Cha Ubia Kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPPC ) David Kafulila amesema Leo ni sikukuu muhimu sana kwa Waislamu wote duniani wakati wakisherehekea sikukuu ya Eid al-Adha maarufu kama Eid ya Kuchinja. Kupitia mitandao yake ya kijamii, Kafulila amesema kuwa ni kipindi ambacho kinawakutanisha Waislamu wengi duniani…

    Continue Reading

  • TANZANIA KUJIIMARISHA KUWA KITOVU CHA UTAFITI KATIKA KUKABILIANA NA MAJANGA  – Habari Mpya

    TANZANIA KUJIIMARISHA KUWA KITOVU CHA UTAFITI KATIKA KUKABILIANA NA MAJANGA  – Habari Mpya

    Na Mwandishi Wetu – Msumbiji SERIKALI imesema inaendelea kujipanga kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha utafiti katika kukabiliana na majanga katika ukanda wa Kusini mwa Afrika (SADC) na Afrika Mashariki, hatua itakayosaidia kuimarisha mifumo ya tahadhari na uokoaji. Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu Dkt.…

    Continue Reading

  • Ujumbe wa Rais Samia kwa majaji wawakosha wadau

    Ujumbe wa Rais Samia kwa majaji wawakosha wadau

    Dar es Salaam. Wakati Rais Samia Suluhu Hassan akiwataka majaji wapya wa Mahakama ya Rufani kwenda kutenda haki bila upendeleo, huba na chuki, wadau mbalimbali wamepongeza kwa ujumbe huo wakisisitiza viongozi hao wa Mahakama, wafuate msingi ya Katiba. Rais Samia amesema hayo jana Jumanne, Mei 26, 2026, Ikulu jijini Dar es Salaam, baada ya kuwaapisha…

    Continue Reading

About the Author

Easy WordPress Websites Builder: Versatile Demos for Blogs, News, eCommerce and More – One-Click Import, No Coding! 1000+ Ready-made Templates for Stunning Newspaper, Magazine, Blog, and Publishing Websites.

BlockSpare — News, Magazine and Blog Addons for (Gutenberg) Block Editor

Search the Archives

Access over the years of investigative journalism and breaking reports