Author: admin
-

UCHUMI PARACHICHI MARATHON 2026 KUMTANGAZA MKULIMA BORA NA FURSA ZA UCHUMI NJOMBE – Habari Mpya
NA DENIS MLOWE NJOMBE MRATIBU wa mbio za Uchumi Parachichi Marathon 2026, Respicius Mtabingwa, amesema maandalizi ya mbio hizo yanaendelea vizuri huku waandaaji wakijipanga kuhakikisha tukio hilo linakuwa jukwaa la kipekee la kutangaza zao la parachichi, kuhamasisha afya kwa wananchi na kufungua fursa za kiuchumi kwa wakulima wa Mkoa wa Njombe. Akizungumza wakati wa ziara…
-

HALMASHAURI YA WILAYA MBINGA MKOANI RUVUMA KUTENGA FEDHA ZA KUTOSHA KUBORESA MIUNDOMBINU YA MICHEZO MASHULENI – Habari Mpya
Na Mwandishi wetu,Mbinga HALMASHAURI ya wilaya Mbinga mkoani Ruvuma imesema, itahakikisha inatenga fedha za kutosha kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya michezo mashuleni ikiwemo viwanja ili kuwezesha wanafunzi kushiriki michezo mbalimbali na kuibua vipaji vyao. Kauli hiyo imetolewa jana na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Joseph Kashushura,wakati akipokea kikombe cha mshindi wa pili wa michezo kwa…
Latest News
About the Author

AF themes
Easy WordPress Websites Builder: Versatile Demos for Blogs, News, eCommerce and More – One-Click Import, No Coding! 1000+ Ready-made Templates for Stunning Newspaper, Magazine, Blog, and Publishing Websites.

Search the Archives
Access over the years of investigative journalism and breaking reports















