Category: Habari

  • Kampuni yatangaza fursa za michezo kuelekea AFCON 2027

    Kampuni yatangaza fursa za michezo kuelekea AFCON 2027

    DAR ES SALAAM: WAKATI Tanzania ikijiandaa kuwa mwenyeji wa mashindano ya AFCON 2027, kampuni ya T9 imeibuka na mkakati wa kuhamasisha Watanzania kuzitumia fursa za kiuchumi zitakazoambatana na mashindano hayo kupitia uzinduzi wa jarida la T9 Magazine Opportunity Plus. Akizungumza katika uzinduzi huo Dar es Salaam leo Mkurugenzi Mtendaji wa T9, Othman Razak, amesema AFCON…

    Continue Reading

  • Kiswaga atoa mifuko 120 ya simenti ujenzi kituo cha afya Masaka

    Kiswaga atoa mifuko 120 ya simenti ujenzi kituo cha afya Masaka

    IRINGA: Mbunge wa Jimbo la Kalenga, Jackson Kiswaga ameendelea kuunga mkono maendeleo ya wananchi baada ya kukabidhi mifuko 120 ya saruji kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa Kituo cha Afya katika Kata ya Masaka jimboni humo. Hatua hiyo imekuja baada ya hivikaribuni kukabidhi msaada wa mifuko 200 ya simenti katika Shule ya Sekondari Tosamaganga kwa…

    Continue Reading

  • SUA kutekeleza miradi ya utafiti ya Sh bilioni 3.4

    SUA kutekeleza miradi ya utafiti ya Sh bilioni 3.4

    MOROGORO: CHUO Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kimeanza utekelezaji wa miradi mipya 12 ya utafiti yenye jumla ya thamani ya Sh bilioni 3.4. Miradi hiyo ni yenye lengo la kukuza maarifa na kutatua changamoto kwenye sekta ya kilimo, mifugo, mazingira na maendeleo ya jamii kwa ujumla. Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu hicho, Profesa Raphael…

    Continue Reading

  • Rais Samia kuzingua programu ya mazingira Dodoma

    Rais Samia kuzingua programu ya mazingira Dodoma

    ARUSHA: Rais wa Dk Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua Programu ya Kitaifa ya Mageuzi ya Kimkakati ya Mazingira Endelevu Tanzania jijini Dodoma katika kilele cha siku ya Mazingira Duniani Juni 5, 2026. Ofisi ya Makamu wa Rais imeandaa Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani ambayo Kitaifa yatafanyika katika Mkoa wa Dodoma mnamo Juni 5, 2026,…

    Continue Reading

  • ‘Viwango ni msingi wa afya, uchumi’

    ‘Viwango ni msingi wa afya, uchumi’

    DAR ES SALAAM: MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema uzingatiaji wa viwango katika uzalishaji wa bidhaa na huduma ni msingi muhimu wa kulinda afya za wananchi, kukuza biashara, kuimarisha viwanda vya ndani na kujenga uchumi endelevu wa taifa. Chalamila ameyasema hayo katika hafla ya Viwango Marathon iliyoandaliwa na Shirika la Viwango…

    Continue Reading

About the Author

Easy WordPress Websites Builder: Versatile Demos for Blogs, News, eCommerce and More – One-Click Import, No Coding! 1000+ Ready-made Templates for Stunning Newspaper, Magazine, Blog, and Publishing Websites.

BlockSpare — News, Magazine and Blog Addons for (Gutenberg) Block Editor

Search the Archives

Access over the years of investigative journalism and breaking reports