Author: admin

  • Kihenzile aipa tano serikali kufufua uwanja wa ndege Iringa

    Kihenzile aipa tano serikali kufufua uwanja wa ndege Iringa

    IRINGA: NAIBU Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile ameishukuru serikali kwa kuutendea haki Mkoa wa Iringa kwa kujenga uwanja wa ndege mkoani humo ambapo zaidi ya Sh bilioni 60 zimetumika kufufua uwanja huo wa kihistoria mkoani Iringa. Akizungumza katika mkutano wa hadhara wa Waziri Mkuu Dk Mwigulu Nchemba uliofanyika katika Viwanja vya Stendi ya Luganda mkoani…

    Continue Reading

  • Wazazi walalamika kuchangishwa fedha kununua picha ya Rais, bendera ya Taifa

    Wazazi walalamika kuchangishwa fedha kununua picha ya Rais, bendera ya Taifa

    Hanang. Wananchi wa kijiji cha Mogitu, wilayani Hanang mkoani Manyara, wamelalamikia kitendo cha kuchangishwa fedha kwa ajili ya ununuzi wa picha ya Rais na bendera ya Taifa. Wakazi wa kijiji hicho wenye wanafunzi katika Shule Msingi Mogitu ambayo ni mpya wametakiwa kuchangia Sh3,200 kila mmoja ili zipatikane Sh400,000 za kununua picha ya Rais na bendera…

    Continue Reading

  • ATCL yarejesha huduma Chato – HabariLeo

    ATCL yarejesha huduma Chato – HabariLeo

    DODOMA; SERIKALI imesema Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL), itarejesha safari zake za ndege ya abiria kwenye Uwanja wa Ndege wa Chato mkoani Geita kuanzia Juni 2, 2026. Kauli hiyo imetolewa bungeni leo Mei 25, 2026 na Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile, alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Chato Kaskazini, Cornel Magembe aliyehoji bungeni ni…

    Continue Reading

  • Lema azungumzia kauli ya Waziri Mkuu kuhusu utekaji

    Lema azungumzia kauli ya Waziri Mkuu kuhusu utekaji

    Dodoma. Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na mlezi wa chama hicho Kanda ya Kati, Godbless Lema amejibu kauli ya Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba kuhusu utekaji. Lema alisema hayo kwenye mkutano wa hadharani jijini Dodoma jana Jumapili Mei 24, 2026 ambapo alieleza kuwa kauli ya Waziri Mkuu, Dk Mwigulu…

    Continue Reading

  • Utekelezaji ujenzi shule za michezo waiva

    Utekelezaji ujenzi shule za michezo waiva

    DODOMA; SERIKALI imesema zabuni ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa shule za michezo imetangazwa ili kupata mkandarasi. Kauli hiyo imetolewa bungeni mjini leo mei 25,2026 na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Nkasi Kusini, Moses Kaegele aliyehoji serikali ina mpango gani wa kujenga shule…

    Continue Reading

  • Mapya yaibuka Msigwa, Selasisini kurudi Chadema

    Mapya yaibuka Msigwa, Selasisini kurudi Chadema

    Dar es Salaam. Kurejea kwa Mchungaji Peter Msigwa na Joseph Selasini ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kumezua jambo, makada na wafuasi wa chama hicho, wakigawanyika kimitazamo kuhusu mapokezi ya wanasiasa hao. Baadhi ya wafuasi wanasema hawakupaswa kupokewa hasa kutokana na matendo yao, walipoondoka ndani ya Chadema, waliisema vibaya na hata kuitusi katika…

    Continue Reading

  • Msajili awaweka kiporo CCM, Chadema

    Msajili awaweka kiporo CCM, Chadema

    Dar es Salaam. Msajili wa Vyama vya Siasa amesema bado anaendelea kufanya tathmini ya kina kabla ya kutoa uamuzi kuhusu majibu yaliyowasilishwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kufuatia tuhuma zilizotolewa dhidi yao. CCM na Chadema vinadaiwa, kwa nyakati tofauti, kutoa kauli kupitia viongozi wao ambazo zinatafsiriwa za kuchochea…

    Continue Reading

  • Urais 2030 unavyoanza ‘kuitesa’ CCM

    Urais 2030 unavyoanza ‘kuitesa’ CCM

    Dar es Salaam. Imepita miezi saba tu, tangu Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 ufanyike. Tayari joto la urais mwaka 2030 ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) limeanza kupanda na kufanya ajenda hiyo iwe midomoni mwa viongozi wa chama hicho na Serikali. Wachambuzi wa siasa wanasema hali hiyo inaonyesha wazi, baadhi ya viongozi hawatumikii nafasi zao…

    Continue Reading

  • Wamerudi Nyumbani | Mwananchi

    Wamerudi Nyumbani | Mwananchi

    Dar es Salaam. Kurejea kwa Mchungaji Peter Msigwa na Joseph Selasini ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kumezua jambo, makada na wafuasi wa chama hicho, wakigawanyika kimitazamo kuhusu mapokezi ya wanasiasa hao. Baadhi ya wafuasi wanasema hawakupaswa kupokewa hasa kutokana na matendo yao, walipoondoka ndani ya Chadema, waliisema vibaya na hata kuitusi katika…

    Continue Reading

  • SERIKALI YASISITIZA UWAZI KATIKA BIASHARA YA KABONI – Habari Mpya

    SERIKALI YASISITIZA UWAZI KATIKA BIASHARA YA KABONI – Habari Mpya

    Na. OWM TAMISEMI, Dodoma Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ( OWM – TAMISEMI) Bw. Sospeter Mtwale, amesema Serikali imejipanga kuhakikisha biashara ya kaboni nchini inatekelezwa kwa uwazi, uwajibikaji na ushirikishwaji wa jamii ili kuwanufaisha wananchi na Taifa kwa ujumla.  Bw. Mtwale amesema hayo katika Kikao…

    Continue Reading

About the Author

Easy WordPress Websites Builder: Versatile Demos for Blogs, News, eCommerce and More – One-Click Import, No Coding! 1000+ Ready-made Templates for Stunning Newspaper, Magazine, Blog, and Publishing Websites.

BlockSpare — News, Magazine and Blog Addons for (Gutenberg) Block Editor

Search the Archives

Access over the years of investigative journalism and breaking reports