Author: admin
-

Dk Mwigulu atangaza kiama kwa wanaonyang’anya ardhi za watu
Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba ametangaza kuwashughulikia ‘wanaokanyaga’ haki za watu hususan sekta ya ardhi huku akiwataka wale wote waliotumia mabavu kunyang’anya warejeshe kwa wanaostahili. Amesema kwenye jamii kuna michezo ya kunyang’anya haki za watu bila kujali huku akiahidi kuwashikisha adabu wote wanaohusika. Dk Mwigulu amesema hayo leo Jumapili Mei 24, 2026…
-

Rais Mwinyi ayaonya mashirika ya umma ‘mzigo’
Zanzibar. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali haitakuwa tayari kuendelea kubeba mashirika ya umma yanayoshindwa kujiendesha na kuendelea kutegemea ruzuku kutoka serikalini. Amesema bado yapo mashirika ya umma yanayolipwa mishahara na kuendeshwa kwa fedha za Serikali jambo alilosema limepitwa na wakati, huku akizitaka taasisi hizo kujipanga na kujiendesha kwa tija na faida.…
Latest News
About the Author

AF themes
Easy WordPress Websites Builder: Versatile Demos for Blogs, News, eCommerce and More – One-Click Import, No Coding! 1000+ Ready-made Templates for Stunning Newspaper, Magazine, Blog, and Publishing Websites.

Search the Archives
Access over the years of investigative journalism and breaking reports




















