Category: Habari
-

KONA YA MSTAAFU: Fedha zinapomwagwa nje nje, lakini hazimhusu mstaafu!
Mstaafu wetu anajikuta akifanya kile kinachomshangaza hata yeye mwenyewe, cha kujikuta akikishukuru sana kibubu cha wastaafu kwa kufanya kilichofanywa na maofisa wake wahusika kuona mwezi jana ukipita bila mstaafu kuhakiki na hivyo kukosa laki mbili na nusu zake za pensheni! Maofisa hao, wengine wakiwa wapenzi wa makala za Mstaafu Wetu toka enzi za Daily News…
-

Historia ya kuanzishwa Kalenda ya Kiislamu
Dar es Salaam. Muharram ni mwezi wa kwanza katika kalenda ya Kiislamu iitwayo Hijra, na wa nne miongoni mwa miezi mitukufu katika Uislamu. Mwezi huu unatukumbusha tukio kubwa katika historia ya Uislamu, nalo ni tukio la Hijra, (kuhama kwa Mtume wa Allah kutoka Makka kwenda Madina), tukio lililotenganisha baina ya haki na batili Kabla hatujaendelea…
-

Bodaboda, bajaji juu kwenye usajili, kusababisha ajali
Dar es Salaam. Katika miaka ya hivi karibuni, pikipiki na bajaji zimekuwa sehemu muhimu ya mfumo wa usafiri nchini Tanzania. Kuanzia mijini hadi vijijini, vyombo hivi vimebadilisha namna wananchi wanavyofika maeneo mbalimbali kwa haraka huku vikitoa ajira kwa maelfu ya vijana na kurahisisha shughuli za biashara. Kutokana na mahitaji hayo, uwekezaji katika eneo hilo nao…
-

TVLA YAWATAKA WAFUGAJI KUONGEZA MWITIKIO WA CHANJO ZA MIFUGO – Habari Mpya
FARIDA MANGUBE MOROGOGO Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA), Dkt. Stella Bitanyi, amewataka wafugaji nchini kuongeza mwitikio wa kuchanja mifugo dhidi ya magonjwa mbalimbali ili kuimarisha afya ya mifugo, kuongeza uzalishaji na kupunguza hatari ya maambukizi ya magonjwa kutoka kwa wanyama kwenda kwa binadamu. Akizungumza Juni 18, 2026 mjini Morogoro katika…
-

ASISITIZA MAPATO NA HATI SAFI VIENDANE NA MATOKEO KWA WANANCHI – Habari Mpya
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ameiagiza Manispaa ya Kibaha kufanya tathmini ya mara kwa mara ya vipaumbele vya maendeleo ili kuhakikisha vinatoa matokeo chanya kwa wananchi na kuchochea maendeleo endelevu. Aidha, ameielekeza Manispaa hiyo kuhakikisha mipango na vipaumbele vyake vinaendana na mahitaji ya wananchi pamoja na kuakisi matakwa ya…
-

WAAJIRI WANAOZINGATIA SHERIA ZA KAZI WAPONGEZWA – Habari Mpya
Na OWM-KAM, Mwanza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano), Mhe. Deus Sangu, amepongeza waajiri nchini wanaotekeleza wajibu wao kwa kuzingatia sheria za kazi, ikiwemo kuwasilisha michango ya wafanyakazi katika Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) kwa lengo la kulinda maslahi ya wafanyakazi dhidi ya madhara yanayotokana na kazi. Mhe. Sangu…
-

Wabunifu watakiwa kulinda kazi zao za sanaa
Dar es Salaam. Wabunifu na wasanii vijana nchini wametakiwa kutambua thamani ya kazi zao za ubunifu kwa kuzilinda kisheria, kuzisimamia kibiashara na kuzitumia kama nyenzo ya kujenga uchumi wao na wa Taifa. Wito huo umetolewa kupitia mafunzo maalumu ya siku mbili kwa wabunifu wa sanaa aina mbalimbali vijana 50 yaliyoandaliwa na Jakaya Mrisho Kikwete Foundation…
-

CZECHIA NA AFRIKA KUSINI WAGAWANA POINTI KOMBE LA DUNIA 2026 – Habari Mpya
Timu ya Taifa ya Afrika Kusini imefanikiwa kutoka sare ya mabao 1-1 dhidi ya Czechia katika mchezo wa hatua ya makundi ya Kombe la Dunia 2026 uliochezwa leo, Juni 18, nchini Mexico. Afrika Kusini, ambao wapo Kundi A, wamefikisha alama moja baada ya matokeo hayo na kwa sasa wanashika nafasi ya mwisho kwenye kundi hilo.…
-

Wahisiwa 64 wa Ebola wabainika Tanzania, Serikali yaongeza ulinzi mipakani
Dodoma. Ili kukabiliana na ugonjwa wa Ebola nchini, Serikali imepeleka maabara mbili Jongezi katika mikoa ya Kagera na Kigoma, kwa ajili ya kuongeza ufanisi katika upimaji wa sampuli kwa wahisiwa wa Ebola hususani wanaoingia nchini kutoa mataifa jirani. Hatua hiyo inajiri huku kukiwa na wahisiwa 64 wa ugonjwa wa Ebola nchini kutoka mikoa 21, ambapo…
-

MKURUGENZI WA UCHAGUZI APONGEZA UFANISI NA UWAZI WA MFUMO WA UAGIZAJI MAFUTA KWA PAMOJA – Habari Mpya
Na Mwandishi Wetu Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Bw. Ramadhan Kailima, amepongeza ufanisi na uwazi wa Mfumo wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja unaosimamiwa na Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja, akieleza kuwa mfumo huo umechangia kuimarisha ukusanyaji wa mapato ya Serikali na kuhakikisha upatikanaji wa mafuta nchini. Bw. Kailima alitoa…
Latest News
About the Author
Easy WordPress Websites Builder: Versatile Demos for Blogs, News, eCommerce and More – One-Click Import, No Coding! 1000+ Ready-made Templates for Stunning Newspaper, Magazine, Blog, and Publishing Websites.

Search the Archives
Access over the years of investigative journalism and breaking reports
You May Have Missed











