
Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), akiteta jambo na Rais wa Benki ya Kiarabu ya Maendeleo Afrika-BADEA, Bw. Abdullah Kh Almusaibeeh, kando ya Mkutano Mkuu wa 61 wa mwaka 2026 wa Bodi ya Magavana wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) na Mkutano Mkuu wa 52 wa Mwaka wa Mfuko wa Maendeleo wa Benki hiyo (ADF), unaofanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Kintélé, kilichoko nchini Congo Brazzaville.













