Author: admin
-

BINGWA WA MASUMBWI CRAWFORD KUTOKA NCHINI MAREKANI ATINGA HIFADHI YA TAIFA TARANGIRE – Habari Mpya
Na. Calvin Katera – Babati. Bondia maarufu duniani toka nchini Marekani Terence “Bud” Crawford amejikuta katika bashasha kubwa ndani ya Hifadhi ya Taifa Tarangire mara baada ya kupokelewa na burudani kutoka kikundi cha watumbuizaji wa nyimbo za jamii ya kimasai leo Mei 26, 2026 mjini Babati. Akiwasili hifadhini hapo Crawford alikutana na menejimenti ya hifadhi…
-
WANAMICHEZO 60 KUIWAKILISHA SIMANJIRO UMITASHUMTA – Habari Mpya
WANAFUNZI wanamichezo 60 wa shule za msingi wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro wamechaguliwa kuiwakilisha Wilaya hiyo kwenye Umoja wa Michezo na Taaluma Shule za Msingi Tanzania (UMITASHUMTA) katika ngazi ya Mkoa wa Manyara. Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro, Gracian Max Makota akizungumza wakati akizindua rasmi michuano hiyo katika viwanja vya Mnyalu…
About the Author

AF themes
Easy WordPress Websites Builder: Versatile Demos for Blogs, News, eCommerce and More – One-Click Import, No Coding! 1000+ Ready-made Templates for Stunning Newspaper, Magazine, Blog, and Publishing Websites.

Search the Archives
Access over the years of investigative journalism and breaking reports

















