Author: admin
-
WAANDISHI WA HABARI WATAKIWA KUTAFAKARI UPYA WAJIBU WAO – Habari Mpya
Mwenyekiti wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Bw. Tido Mhando, amewataka Waandishi wa Habari nchini kutafakari upya wajibu wao katika kuijenga jamii kupitia maudhui yenye tija, akieleza kuwa ipo haja ya kurejesha hadhi na nguvu ya taaluma hiyo katika kujenga fikra na maendeleo ya taifa. Akizungumza jijini Dar es Salaam, Bw. Mhando…
-

Waziri Mkuu aliyetenguliwa Senegal achaguliwa kuwa Spika
Bunge la Taifa la Senegal limemchagua waziri mkuu aliyeondolewa madarakani, Ousmane Sonko, kuwa spika wake. Kuchaguliwa Sonko kuwa spika kumefanyika ndani tya siku nne baada ya Rais Bassirou Diomaye Faye kumfuta kazi, huku wabunge walio wachache bungeni wakidai kurejeshwa mwanasiasa huyo katika Bunge la Taifa kuwa kinyume cha sheria. Sonko ni kiongozi wa Chama cha…
About the Author

AF themes
Easy WordPress Websites Builder: Versatile Demos for Blogs, News, eCommerce and More – One-Click Import, No Coding! 1000+ Ready-made Templates for Stunning Newspaper, Magazine, Blog, and Publishing Websites.

Search the Archives
Access over the years of investigative journalism and breaking reports

















