Author: admin

  • SERIKALI YATOA UFAFANUZI KUHUSU TAARIFA ZA MGOMO WA DALADALA ARUSHA – Habari Mpya

    Mkuu wa wilaya ya Arusha ,Joseph Mkude akizungumza na waandishi wa habari jijini Arusha leo kuhusu mgomo wa daladala. Happy Lazaro,Arusha . Arusha .Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mhe. Joseph Modest Mkude amesema Jiji la Arusha linaendelea kuwa salama na wananchi wanaendelea na shughuli zao kama kawaida kufuatia taarifa zilizozagaa kuhusu madai ya mgomo wa…

    Continue Reading

  • Mama mzazi wa Hayati Magufuli afariki dunia Chato

    Mama mzazi wa Hayati Magufuli afariki dunia Chato

    Mama mzazi wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati John Magufuli Suzana Magufuli, amefariki dunia leo Mei 25, 2026 nyumbani kwake Chato mkoani Geita baada ya kuugua kwa muda mrefu. Taarifa za kifo hicho zimethibitishwa na mtoto wa Hayati Magufuli, Jesca Magufuli, leo Jumatatu Mei 25, 2026 akizungumza…

    Continue Reading

  • DKT. MWIGULU AWASILI NCHINI JAMHURI YA KONGO – Habari Mpya

    DKT. MWIGULU AWASILI NCHINI JAMHURI YA KONGO – Habari Mpya

    WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Maya Maya jijini Brazzaville, nchini Jamhuri ya Kongo kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa 61 wa Mwaka wa Bodi ya Magavana wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB). Dkt. Mwigulu anamwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan…

    Continue Reading

  • Mmepewa elimu ifikisheni kwa jamii

    Mmepewa elimu ifikisheni kwa jamii

    DAR ES SALAAM: SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) limewapa elimu waandishi wa habari nchini kutumia taaluma yao kuwa mabalozi wa kuelimisha umma kuhusu haki na huduma zinazotolewa na Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF), likisisitiza kuwa wanahabari ni daraja muhimu la kufikisha elimu kwa jamii. Wito huo umetolewa na Rais wa TUCTA, Tumaini…

    Continue Reading

  • MAKUMBUSHO YA KUMBUKUMBU YA CHIFU NDASKOI YAADHIMISHA SIKU YA MAKUMBUSHO DUNIANI – Habari Mpya

    …………… Na Happy Lazaro, Arusha Kwa mara ya kwanza tangu kuanzisha mwaka 2016, Makumbusho ya Kumbukumbu ya Chifu Ndaskoi imeadhimisha Siku ya Makumbusho Duniani ikiongozwa na Kaulimbiu isemayo; “Miti na utamaduni; kuunganisha zamani na kesho” Wakati wa sherehe hiyo Wadau mbalimbali pamoja na jamii wamehimizwa kuchukua hatua za makusudi kuenzi, kuhifadhi na kuridhisha utamaduni wetu…

    Continue Reading

  • Chalamila azungumzia ulinzi AFCON 2026

    Chalamila azungumzia ulinzi AFCON 2026

    DAR ES SALAAM: MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewataka wawekezaji na taasisi mbalimbali nchini kutumia huduma za kampuni za ulinzi zilizosajiliwa ili kurahisisha ufuatiliaji wa matukio ya kiusalama yanapotokea. Chalamila amesema hayo leo Mei 25, 2026 jijini Dar es Salaam wakati wa mazungumzo kuhusu maandalizi ya ulinzi na usalama kuelekea mashindano…

    Continue Reading

  • YANGA YAIONDOA SIMBA SC KILELENI LIGI KUU TANZANIA BARA – Habari Mpya

    Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Young Africans SC, wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliochezwa leo, Mei 25, 2026, kwenye KMC Complex uliopo Mwenge, Dar es Salaam. Mabao ya Yanga SC yalifungwa na Duke Abuya pamoja na Allan Okello aliyefunga mabao…

    Continue Reading

  • Vimelea vya malaria vyaonesha usugu wa dawa mikoa mitano

    Vimelea vya malaria vyaonesha usugu wa dawa mikoa mitano

    Dar es Salaam. Matokeo ya utafiti wa ufuatiliaji ugonjwa wa malaria kwa kutumia vinasaba, umebaini vimelea vya ugonjwa huo vimeanza kupata usugu wa dawa hasa katika mikoa mitano nchini. Utafiti huo uliofanywa na Taasisi ya Afya Ifakara (IHI) umeonesha mkoa ulioathirika zaidi na usugu wa vimelea dhidi ya dawa ni Kagera na kusambaa katika mikoa…

    Continue Reading

  • Hemed ataja fursa uchumi wa buluu, akaribisha wawekezaji

    Hemed ataja fursa uchumi wa buluu, akaribisha wawekezaji

    Unguja. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla amesema Zanzibar ina fursa kubwa za uwekezaji katika sekta ya uchumi wa buluu, ikiwamo ufugaji wa viumbe maji, usindikaji wa mazao ya baharini, bioteknolojia ya baharini na utalii wa mazingira. Mbali na sekta hizo, amesema pia kuna nafasi za uwekezaji katika usafirishaji wa baharini,…

    Continue Reading

  • Walichokisema mahakamani mawakili wa utetezi kesi ya vigogo wa MSD

    Walichokisema mahakamani mawakili wa utetezi kesi ya vigogo wa MSD

    Dar es Salaam. Wakili wa utetezi katika kesi ya wizi wa dawa na vifaa tiba inayowakabili watumishi sita wa Bohari ya Dawa (MSD), Seif Rashid ameutaka upande wa Jamhuri kukamilisha upelelezi kwa wakati ili iweze kuandelea na hatua nyingine. Pia, ameiomba Mahakama itoe hati ya wito wa kuwapeleka washtakiwa mahakamani kutoka rumande, kwa sababu kesi…

    Continue Reading

About the Author

Easy WordPress Websites Builder: Versatile Demos for Blogs, News, eCommerce and More – One-Click Import, No Coding! 1000+ Ready-made Templates for Stunning Newspaper, Magazine, Blog, and Publishing Websites.

BlockSpare — News, Magazine and Blog Addons for (Gutenberg) Block Editor

Search the Archives

Access over the years of investigative journalism and breaking reports