Author: admin
-

Wanaotumikisha wahamiaji Kigoma wapewa siku saba
Kigoma. Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Balozi Simon Sirro, ametoa siku saba kwa wananchi na wafanyabiashara wanaowatumia wahamiaji kutoka nchi jirani wasio na vibali halali vya kuishi na kufanya kazi nchini kuwarejesha kwao kabla ya hatua za kisheria kuchukuliwa dhidi yao. Balozi Sirro amesema katika siku za hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la wahamiaji haramu…
-

Mwinyi kuwakilisha Tanzania mkutano wa bahari
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi, amewasili jijini Mombasa kwa ziara ya kikazi ya siku mbili ambapo atamwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan, katika Mkutano wa 11 wa Kimataifa wa Masuala ya Bahari unaofanyika nchini Kenya. Rais Dk. Mwinyi aliwasili katika Uwanja wa…
Latest News
About the Author

AF themes
Easy WordPress Websites Builder: Versatile Demos for Blogs, News, eCommerce and More – One-Click Import, No Coding! 1000+ Ready-made Templates for Stunning Newspaper, Magazine, Blog, and Publishing Websites.

Search the Archives
Access over the years of investigative journalism and breaking reports



















