Category: Habari

  • WAZIRI MKUU AHIMIZA MALEZI YA KIMAADILI NA USHIRIKIANO WA KIJAMII – Habari Mpya

    WAZIRI MKUU AHIMIZA MALEZI YA KIMAADILI NA USHIRIKIANO WA KIJAMII – Habari Mpya

    WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema jamii inapaswa kurejea katika misingi ya malezi ya pamoja na uwajibikaji wa kijamii ili kujenga kizazi chenye maadili, kinachoheshimu viongozi, wazazi pamoja na taasisi za jamii. “Tunataka kujenga jamii inayoguswa na changamoto za wengine. Maadili mema yanaanzia kwenye malezi ya familia na jamii kwa ujumla,” amesema Dkt. Mwigulu. Dkt.…

    Continue Reading

  • Sh65 bilioni kutekeleza vipaumbele 11 Wizara ya Utalii

    Sh65 bilioni kutekeleza vipaumbele 11 Wizara ya Utalii

    Unguja. Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale imekuja na vipaumbele 11 ikilenga kuimarisha vivutio vya utalii, kuvihifadhi na kuyaendeleza maeneo ya kihistoria Unguja na Pemba. Ili kutekeleza vipaumbele hivyo, wizara imeomba Baraza la Wawakilishi kuidhinisha Sh65.627 bilioni. Kati ya hizo Sh4.152 bilioni kwa kazi za kawaida, Sh3.948 bilioni kwa ajili ya mishahara na Sh57.525 bilioni kwa utekelezaji wa miradi ya…

    Continue Reading

  • Teknolojia inavyowanasua vijana janga la ajira

    Teknolojia inavyowanasua vijana janga la ajira

    Dar es Salaam. Wakati ukosefu wa ajira rasmi ukiendelea kuwa miongoni mwa changamoto zinazowakabili vijana nchini, kizazi kipya kimeibuka na mbinu mbadala za kujipatia kipato kupitia mitandao ya kijamii, biashara za mtandaoni na kazi za kujitegemea, hali inayozidi kubadili taswira ya soko la ajira Tanzania. Kuanzia TikTok, Instagram, YouTube hadi WhatsApp, mitandao ya kijamii imekuwa…

    Continue Reading

  • MIRADI YA BARABARA NI UFUNGUO WA UCHUMI WA WANANCHI – Habari Mpya

    MIRADI YA BARABARA NI UFUNGUO WA UCHUMI WA WANANCHI – Habari Mpya

    WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kuwekeza katika miradi ya barabara nchini kwa kuwa ndiyo msingi wa kufungua uchumi, kurahisisha usafirishaji wa mazao na kuchochea maendeleo ya wananchi vijijini na mijini. “Hizi kilomita 17 zilizobaki kuelekea Dabaga ni eneo muhimu sana la uzalishaji, hivyo Serikali itaendelea kuweka mkazo kuhakikisha eneo hilo linafunguliwa kwa…

    Continue Reading

  • Wazazi wanavyoua ubunifu kwa watoto wanapokosea

    Wazazi wanavyoua ubunifu kwa watoto wanapokosea

    Dodoma. Umewahi kujiuliza kwa nini watoto wengi wanalalamikiwa kwa kukosa ubunifu? Je, ubunifu wa mtu ni tabia ya kuzaliwa, matokeo ya malezi au mtu hujifunza shuleni? Hapa nazungumzia uwezo wa kulitazama jambo kwa kiu ya udadisi, kulitafutia majibu yasiyozoeleka. Hata dhima kuu ya elimu iliyo bora ni kukuza ubunifu. Kama kuna kitu muhimu elimu bora…

    Continue Reading

  • TFS wataka ulinzi ubora wa asali

    TFS wataka ulinzi ubora wa asali

    TABORA: WANANCHI wanaojihusisha na ufugaji nyuki na uchakataji wa mazao yatokanayo na nyuki wametakiwa kuzingatia viwango vya ubora na usalama wa bidhaa zao, kwani uzalishaji usiozingatia sheria unaweza kuhatarisha masoko ya ndani na nje ya nchi. Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Uhifadhi kutoka Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), Hussein Msuya, amesema hayo wakati wa…

    Continue Reading

  • Mgombea Isimani aahidi kusimama na wanawake

    Mgombea Isimani aahidi kusimama na wanawake

    IRINGA: Mgombea ubunge wa Jimbo la Isimani kupitia chama cha UMD katika uchaguzi mdogo, Asma Othman, ameendelea kunadi sera zake kwa wananchi wa maeneo ya jimbo hilo huku akiomba kupewa ridhaa ya kuwaongoza na kuwatetea bungeni. Akizungumza katika mkutano wa kampeni katika kata ya Kising’a uliohudhuriwa na mamia ya wananchi, Asma amesema endapo atachaguliwa atahakikisha…

    Continue Reading

  • KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA NA UZALISHAJI WA KIWANDA CHA SUKARI MKULAZI  – Habari Mpya

    KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA NA UZALISHAJI WA KIWANDA CHA SUKARI MKULAZI  – Habari Mpya

    Na Mwandishi, Morogoro Serikali imeendelea kutekeleza mikakati iliyoanishwa katika Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 kupitia uwekezaji wa Kiwanda cha Sukari cha Mkulazi kinachomilikiwa kwa ushirikiano kati ya Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) na Jeshi la Magereza.  Uwekezaji huo umetajwa kuwa miongoni mwa miradi ya kimkakati inayochangia kukuza uchumi wa nchi, kuongeza…

    Continue Reading

  • Wawakilishi wataka mbinu mpya kutangaza utalii Zanzibar

    Wawakilishi wataka mbinu mpya kutangaza utalii Zanzibar

    Unguja. Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wamesema licha ya jitihada kubwa zinazofanywa na Serikali kutangaza utalii, bado tija haijaonekana hivyo inataka kuongeza jitihada kupanua soko la utalii. Wametoa kauli hiyo leo Mei 23, 2026 wakati wakichangia nakadirio ya mapato na matumizi ya bajeti ya Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale Barazani Chukwani Unguja Zanzibar.…

    Continue Reading

  • MKURUGENZI MKUU VETA AWATAKA WAKUFUNZI 25 WALIOPO NCHINI FINLAND KUWA CHACHU YA MABAILIKO – Habari Mpya

    MKURUGENZI MKUU VETA AWATAKA WAKUFUNZI 25 WALIOPO NCHINI FINLAND KUWA CHACHU YA MABAILIKO – Habari Mpya

    Mkurugenzi Mkuu wa VETA CPA Anthony Kasore amefanya ziara katika chuo cha REDUEdu kilichopo Rovaniemi nchini Finland ili kujionea maendeleo ya wakufunzi 25 wanaopata mafunzo ya ujuzi wa teknolojia zinazohitajika katika Uchimbaji na Ukuzaji Mnyororo wa Thamani wa Madini chuoni hapo. Katika ziara yake chuoni hapo aliambatana na baadhi ya viongozi wa menejimenti ya VETA…

    Continue Reading

About the Author

Easy WordPress Websites Builder: Versatile Demos for Blogs, News, eCommerce and More – One-Click Import, No Coding! 1000+ Ready-made Templates for Stunning Newspaper, Magazine, Blog, and Publishing Websites.

BlockSpare — News, Magazine and Blog Addons for (Gutenberg) Block Editor

Search the Archives

Access over the years of investigative journalism and breaking reports