Category: Habari

  • MCHUMI: Msamaha wa kodi kwa mafuta ya kula utachochea uwekezaji

    MCHUMI: Msamaha wa kodi kwa mafuta ya kula utachochea uwekezaji

    DAR ES SALAAM: Msamaha wa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kwa mafuta ya kula yanayozalishwa kwa kutumia mbegu zinazozalishwa ndani ya nchi unatarajiwa kuongeza uwekezaji, ushindani wa viwanda vya ndani na kuchochea uzalishaji wa mazao ya mafuta nchini. Hayo yamesemwa na mchambuzi wa uchumi, Marandu Marwa, akizungumzia hatua mpya za Serikali zilizotangazwa katika bajeti…

    Continue Reading

  • Malalamiko ya wananchi kusuasua huduma ya maji yamng’oa kigogo Mwanza

    Malalamiko ya wananchi kusuasua huduma ya maji yamng’oa kigogo Mwanza

    Mwanza. Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, ameagiza kusimamishwa kazi mara moja Meneja wa Usambazaji Maji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (Mwauwasa), Mhandisi Ramadhani Mramba, kutokana na malalamiko ya muda mrefu ya wananchi kuhusu huduma duni ya maji katika baadhi ya maeneo ya jiji la Mwanza. Aweso ametoa uamuzi leo  huo Jumatatu,…

    Continue Reading

  • Hapi: Viongozi CCM tatueni kero za wananchi acheni kushughulikiana

    Hapi: Viongozi CCM tatueni kero za wananchi acheni kushughulikiana

    Geita. Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Ally Hapi, amewataka viongozi wa chama hicho kuacha kujikita katika vikao vya kushughulikiana ndani ya chama na badala yake kuelekeza nguvu katika kutatua kero za wananchi. Amesema CCM haiwezi kuwa chama cha vikao visivyo na tija, akisisitiza kuwa viongozi wanapaswa kutoka ofisini na…

    Continue Reading

  • UMEME ULIOCHOCHEA UCHUMI – HabariLeo

    UMEME ULIOCHOCHEA UCHUMI – HabariLeo

    Miaka mitano iliyopita, haikuwa jambo la ajabu kutembea katika mitaa ya Kariakoo jijini Dar es Salaam na kusikia ngurumo za jenereta karibu kila kona. Maduka ya jumla, maghala, karakana, viwanda vidogo na hata ofisi nyingi zilikuwa na jenereta kama sehemu ya kawaida ya shughuli za kila siku. Kukatika kwa umeme kulimaanisha uzalishaji kusimama, biashara kuchelewa…

    Continue Reading

  • Mvutano wa wahamiaji Afrika Kusini washika kasi, Juni 30 ikikaribia

    Mvutano wa wahamiaji Afrika Kusini washika kasi, Juni 30 ikikaribia

    Dar es Salaam. Mvutano kuhusu raia wageni nchini Afrika Kusini umeingia katika hatua mpya huku maandamano ya kupinga wahamiaji yakizidi kushika kasi, hali iliyozua hofu miongoni mwa maelfu ya raia wa mataifa mengine ya Afrika wanaoishi nchini humo na kuibua misimamo mikali kutoka serikalini, makundi ya kiraia, viongozi wa dini na sekta ya biashara. Kwa…

    Continue Reading

  • Wenza wanavyoshirikiana asilimia 30 ya bakteria wa tumboni

    Wenza wanavyoshirikiana asilimia 30 ya bakteria wa tumboni

    Dar es Salaam.​ Utafiti mpya umebaini kuwa watu wanaoishi pamoja kama wanandoa au wapenzi hushirikiana kiasi kikubwa cha vimelea vya asili mwilini mwao (microbiome), hususan bakteria wa tumboni.  Kwa mujibu wa wataalamu, wapenzi hushirikiana takriban asilimia 30 ya bakteria wa mfumo wa chakula, jambo ambalo lina athari za moja kwa moja kwa afya zao kwa…

    Continue Reading

  • CTI YAFURAHIA MAPENDEKEZO YAKE 51 KUCHUKULIWA NA SERIKALI BAJETI KUU – Habari Mpya

    CTI YAFURAHIA MAPENDEKEZO YAKE 51 KUCHUKULIWA NA SERIKALI BAJETI KUU – Habari Mpya

    Na Mwandishi Wetu SHIRIKISHO la Wenye Viwanda Nchini (CTI), limepongeza Bajeti Kuu ya mwaka 2026/2027 ikisema kuwa kama itatekelezwa vizuri itasaidia kulinda na kustawisha viwanda vya ndani . Shirikisho hilo limesema serikali imechukua asilimia 50 ya mapendekezo ya wenye viwanda na kuyaweka kwenye bajeti kwani kati ya mapendekezo 110 waliyoyawasilisha, 51 yamechukuliwa. Hayo yalisemwa jana…

    Continue Reading

  • Ifahamu programu mpya kupima masikio kupitia kishkwambi

    Ifahamu programu mpya kupima masikio kupitia kishkwambi

    Dar es Salaam. Shirika la Afya Duniani (WHO) limezindua programu mpya ijulikanayo kama WHOears, inayolenga kurahisisha upimaji wa usikivu wa masikio kupitia kishkwambi (tablets), hatua inayotarajiwa kusaidia kubaini mapema matatizo ya kusikia kwa mamilioni ya watu duniani. Programu hiyo, ambayo inapatikana bila malipo katika mifumo ya Android na iOS, imeundwa kutumiwa na wahudumu wa afya…

    Continue Reading

  • Kasoro za kiutaratibu zamfungulia njia koplo aliyefukuzwa kazi

    Kasoro za kiutaratibu zamfungulia njia koplo aliyefukuzwa kazi

    Arusha. Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Morogoro, imemruhusu aliyekuwa Koplo wa Jeshi la Polisi, Said Pazzi kuwasilisha maombi ya mapitio ya mahakama nje ya muda, ili kupinga kufukuzwa kwake kazini kufuatia hukumu ya mahakama ya kijeshi iliyomuhusisha na tuhuma za rushwa. Uamuzi huo umetolewa Juni 12, 2026 na Jaji Stephen Magoiga, katika shauri…

    Continue Reading

  • Shabiby: Mfumo wa leseni za bodaboda upitiwe upya.

    Shabiby: Mfumo wa leseni za bodaboda upitiwe upya.

    MBUNGE wa Gairo, Ahmed Shabiby, ameutaka Serikali kupitia upya mfumo wa utoaji wa leseni kwa waendesha bodaboda, akieleza kuwa gharama za mafunzo na upatikanaji wa leseni ni kubwa na zinawaathiri vijana wengi wanaotegemea sekta hiyo kujipatia kipato. Akichangia mjadala wa Hali ya Uchumi wa Taifa kwa mwaka 2025, Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa 2026/27…

    Continue Reading

About the Author

Easy WordPress Websites Builder: Versatile Demos for Blogs, News, eCommerce and More – One-Click Import, No Coding! 1000+ Ready-made Templates for Stunning Newspaper, Magazine, Blog, and Publishing Websites.

BlockSpare — News, Magazine and Blog Addons for (Gutenberg) Block Editor

Search the Archives

Access over the years of investigative journalism and breaking reports