Category: Habari

  • Kadogosa: Biashara ndogondogo zahitaji mazingira wezeshi

    Kadogosa: Biashara ndogondogo zahitaji mazingira wezeshi

    MBUNGE wa Bariadi Vijijini, Masanja Kadogosa, amesema biashara ndogondogo zinapaswa kuwekewa mikakati madhubuti na mazingira rafiki ili ziweze kustawi na kutoa mchango mkubwa katika ukuaji wa uchumi wa taifa. Akichangia mjadala wa Hali ya Uchumi wa Taifa kwa mwaka 2025, Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa 2026/27 pamoja na Bajeti ya Serikali ya mwaka 2026/27,…

    Continue Reading

  • Chalamila awatumia ujumbe ‘wanaoleta chokochoko mitandaoni’

    Chalamila awatumia ujumbe ‘wanaoleta chokochoko mitandaoni’

    Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC), Albert Chalamila ametaja mikakati ya kuimarisha ulinzi na usalama wa jiji hilo dhidi ya alichokiita chokochoko mitandaoni. Chalamila ameyasema hayo leo Jumatatu Juni 15, 2026 alipozungumza na wenyeviti na watendaji wa mitaa jijini Dar es Salaam. Akitaja sababu za kuweka mikakati ya usalama wa…

    Continue Reading

  • Spika ahoji TCRA, CMSA – HabariLeo

    Spika ahoji TCRA, CMSA – HabariLeo

    SPIKA wa Bunge la Tanzania, Mussa Zungu, ameziagiza Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) na Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) kufika mbele ya Kamati ya Bajeti ya Bunge kutoa maelezo kuhusu kutotekelezwa kwa sheria inayozitaka kampuni za mawasiliano kuuza sehemu ya hisa zao kwa umma. Maelekezo hayo yametolewa leo bungeni baada ya Spika…

    Continue Reading

  • Kortini akidaiwa kujipatia Sh80 milioni kwa njia ya udanganyifu

    Kortini akidaiwa kujipatia Sh80 milioni kwa njia ya udanganyifu

    Dar es Salaam. Mhasibu, Hassan  Ramdan (34) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na shtaka la wizi wa Sh80 milioni, mali ya kampuni ya Preeta Track Company Ltd. Mshtakiwa amefikishwa Mahakamani hapo, leo Jumatatu Juni 15, 2026 na kusomewa shtaka moja la wizi na wakili wa Serikali, Titus Aron, mbele ya Hakimu Mkazi…

    Continue Reading

  • Gereji pembezoni mwa barabara, vyuma chakavu marufuku Dar

    Gereji pembezoni mwa barabara, vyuma chakavu marufuku Dar

    Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewaagiza wafanyabiashara wote wa vyuma chakavu pamoja na wamiliki wa biashara nyingine zinazotazama barabarani na kuathiri mandhari ya jiji, kuondoa vifaa hivyo na kuvipeleka ndani ya maeneo yao ya biashara. Amesema Serikali ya mkoa imetoa mwezi mmoja kwa wamiliki wa gereji na biashara…

    Continue Reading

  • Kutoka ngurumo za jenereta madukani, hadi usikivu tulivu wa AC

    Kutoka ngurumo za jenereta madukani, hadi usikivu tulivu wa AC

    Miaka mitano iliyopita, haikuwa jambo la ajabu kutembea katika mitaa ya Kariakoo jijini Dar es Salaam na kusikia ngurumo za jenereta karibu kila kona. Maduka ya jumla, maghala, karakana, viwanda vidogo na hata ofisi nyingi zilikuwa na jenereta kama sehemu ya kawaida ya shughuli za kila siku. Kukatika kwa umeme kulimaanisha uzalishaji kusimama, biashara kuchelewa…

    Continue Reading

  • Chadema kujibu madai kesi ya mali Julai Mosi

    Chadema kujibu madai kesi ya mali Julai Mosi

    Dar es Salaam. Mchakato wa usikilizwaji wa kesi ya madai ya mgogoro wa mgawanyo wa rasilimali usio sawa ndani ya  Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kati ya Tanzania Bara na Zanzibar umeanza baada ya kesi hiyo kutajwa kwa mara ya kwanza leo Jumatatu, Juni 15, 2026. Kesi hiyo ya madai namba 13832 ya mwaka…

    Continue Reading

  • Mafunzo maalumu kuimarisha ufanisi wa wanasheria

    Mafunzo maalumu kuimarisha ufanisi wa wanasheria

    TANGA: Maofisa Sheria wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) wanatarajiwa kuimarisha uwezo, maarifa na ufanisi katika utekelezaji wa majukumu yao kupitia mafunzo maalumu yaliyoandaliwa na Mfuko huo na kuendeshwa na Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto (IJA). Mafunzo hayo ya siku tano yanayofanyika kuanzia Juni 15-19, 2026 katika Ukumbi wa Mikutano wa…

    Continue Reading

  • KITUO CHA POLISI BASHNET, TUMAINI JIPYA LA USALAMA WA RAIA. – Habari Mpya

    KITUO CHA POLISI BASHNET, TUMAINI JIPYA LA USALAMA WA RAIA. – Habari Mpya

    Na John Walter-Babati Kwa miaka mingi, wakazi wa Tarafa ya Bashnet katika Wilaya ya Babati wameishi na changamoto ya kupata huduma za kipolisi kwa umbali mrefu. Tarafa hiyo, inayojumuisha kata kumi za Bashnet, Nar, Dabil, Secheda, Madunga, Qameyu,Dareda,Arri,Ayalagaya na Ufana, imekuwa ikitegemea huduma za polisi kutoka Babati Mjini, hali iliyosababisha ucheleweshaji wa hatua za kiusalama…

    Continue Reading

  • Kamati ya Bunge nayo yataka Sh200 bilioni za vijana zisitawanywe

    Kamati ya Bunge nayo yataka Sh200 bilioni za vijana zisitawanywe

    Dar es Salaam. Kamati ya Bunge ya Bajeti, imetaka kiasi cha Sh200 bilioni kilichotolewa na Serikali kwa ajili ya maendeleo ya vijana kisigawanywe katika wizara mbalimbali kama inavyofanyika, bali kiachwe kwenye wizara inayohusika na kundi hilo. Hata hivyo, Rais Samia Suluhu Hassan, aliwahi kueleza uamuzi wa kuzigawanya fedha hizo unafuatana na sekta zilizolengwa kuwanufaisha vijana…

    Continue Reading

About the Author

Easy WordPress Websites Builder: Versatile Demos for Blogs, News, eCommerce and More – One-Click Import, No Coding! 1000+ Ready-made Templates for Stunning Newspaper, Magazine, Blog, and Publishing Websites.

BlockSpare — News, Magazine and Blog Addons for (Gutenberg) Block Editor

Search the Archives

Access over the years of investigative journalism and breaking reports